Nianze kunywa maji ya bluuKila mtu ni mweupe,
Ni maji tu unayokunywaView attachment 2035263
Mji meupe ankali.
Ungo huo

Mkuu umekula chumvi za kutosha![]()
Aaaaa, wabishi kweli kweli
>Mtoto wa mwenzako ni mkubwa mwenzako.
Muke ya mwenzako ni shemeji yako
Mume wa mwenzako ni shemeji yako
Yatendelea kudumu daima dumu
Huenda wewe na babako mnashea beki tatu hizo



Kenya, Uganda, South Africa zimeingizwa ki magumashi hapo.





Aisee, 1995 naukumbuka kwa mengi.Alhamdulillah si haba.

