Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

1638791452015.png
 
Wagombea watatu wa urais wa CCM mwakan1995, wakiwa kwenye kikao maalum cha kuwachekecha.
Mkapa aliibuka kidedea.
Ulikuwa wapi wakati huo?View attachment 2034132

Mtibwa Morogoro, na nilimpigia Kura Mkapa akawa Rais wa JMT. Matukio makubwa ninayoyakumbuka baada ya uchaguzi ule ni kupanda kwa bei ya Sukari, pia zilishuhudiwa Mvua za El-Nino na kuzama kwa Mv Bukoba. Yapo mengi, itoshe kwa hayo machache.
 
Back
Top Bottom