Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_20211203_094714.jpg
 
Mkuu, unaruhusiwa kuitafuta hio 'Aya' usome tafsiri yake, utaipata kwa kiswahili fasaha. Kwenye 'aya' zake zote hutaona inataja kumpa mtu hela kwa kutumia kuku wala sindano au hata kuokota!. Hizo ni 'Shirki' kama shirki nyingine watu wanazifanya kwa mgongo wa vitabu vitakatifu. Epuka shirki!.
Shirki ni mbaya

Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
 
Unakosea chumba cha gesti hausi, unakutana na hii mambo.. Je
Utafunga mlango uondoke?
Utabaki kukodoa mimacho ya uchu?
Utapiga moyo konde uingie?
Ah..!?View attachment 2027319

Kimbia mwanangu kimbia, maana kitu kama hicho hakipo chenyewe humo, aidha njemba litakua bafuni linaoga au limetoka mara moja kuchukua kondomu dukani maana zimeisha.
 
Back
Top Bottom