Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Hv haiwezekan kwa Rais wa Jamhur kwenda kwenye tukio alaf asiongee na hadhira kwa stail ya kuhutubu yaan akae kwenye kiti apige soga mwishowe aondoke zake???
Kwa marais wa mabara mengine inawezekana.
Barani Afrika rais ni fursa.
Akihudhuria tukio furani waandaaji wanamtumia kama fursa.
Watafanya kila njia aongee neno hata kidogo.
Kwahiyo ataongea kanisani, msikitini, bar mpaka kwenye kijiwe cha kahawa
 
Zambian pastor James Sakara aliwaomba watu wa kanisani mwake wamzike huku akiwa amefungwa kamba na kuwaaminisha kua atafufuka na kurudi ndani ya siku tatu kama jinsi Jesus alivyofanya, kwa bahati mbaya hakuweza kurudi alikutwa tayari alishafariki. Askari polisi wamewashikilia wale watu wote waliyoshiriki kumzika kwa sasa wapo kituoni.

Swali langu sasa hapo watu hao Wanakosa lipi na wakati pastor mwenyewe ndio kaomba azikwe?

View attachment 2023879
Kesi ya mauji inawahusu.
Huwezi amini maneno ya mchungaji, wachungaji wengi madishi yametikisika
 
Screenshot_20211126-100546.jpg
 
Tulikua mwenge stend ya zaman jamaa alidondoka kifafa.
kilikua kipind cha mvua vidume wote tulimkimbia mshkaj kwa dhana kwamba akijamba ushuz wake ukiupata haruf anakuambukiza,
akatokea mdada modo kajitanda vzr tu muonekano wa visiwan akamfunika na mwamvul yule jamaa mpaka alipopata fahamu,
binafs nilijiona dhaif mno hata mdada kanishinda ujasir.
 
Back
Top Bottom