Qwy
JF-Expert Member
- Nov 23, 2018
- 6,236
- 31,197
Ni Library, art gallery au museum?
Ni Library, art gallery au museum?
Naona umepata business partner.





Nimekumbuka uwanja wetu wa 'chandimu', mbigili uwanja mzima yaani ukipigwa mtama unakuta kama tano zimenasa shavuni.Yaani we acha tu....
View attachment 2010408
Wow, amazingly beautiful ladies.
Wasanii.
Vultures.Usiku wa viwanja View attachment 2010743
Hapo inaonekana 'customers' ni wa kutafuta kwa tochi, na hao machangu hapo kutoka kwenye ghettos zao washaoga midawa na kujifukiza kinoma.
Are you sure hiyo ndiyo sababu? Unajuaje kama si sababu nyingine?Hapana hawajaweka wazi hivyo ni mihemuko yao na hisia juu ya mtu wanae mpiga bani.
Mfano jiulize mimi nimepigwa Ban ya mwezi kwa kosa la kuandika kasomi TV kila mwisho wa post yangu yaani kama signature name
Jolie's Club Upanga, zamani zileHapo inaonekana 'customers' ni wa kutafuta kwa tochi, na hao machangu hapo kutoka kwenye ghettos zao washaoga midawa na kujifukiza kinoma.
True scavengers.

Kwanini umzungushe wakati haupendi kunyamaziwa





