Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 25,207
- 40,645
Kwahiyo ni utapeli kama matapeli wengine tu
Kwahiyo ni utapeli kama matapeli wengine tu
Mpaka gombania goli unaijua, nilitegemea unajua 'lede' tu.


nimecheza sana naachaje kuijua ningeendelea ningeenda hadi timu ya taifa


.nimecheza sana naachaje kuijua ningeendelea ningeenda hadi timu ya taifa
![]()
Na ukifanya hivyo nakuwekea taraabu kwenye simu ukome na kijiba cha roho zee zima




Mtaalam vyombo vyake vimeshampanda kichwani, mzee wa Nyagi katika ubora wake.Ni yeye au faru john!?View attachment 2010592
Na ukifanya hivyo nakuwekea taraabu kwenye simu ukome na kijiba cha roho zee zima![]()



Hizi moves tunaziita 'survival tactics', enzi za Hamnazo kuku-Ben Saanane ilikuwa kitu kidogo sana.NdumilakuwiliView attachment 2010560
nimesikia toka juzi mnalalama eti TZ nzima hakuna clane, na hiyo imembeba le mutuz ni nini🤣Huyu jamaa atakuwa na shida na psychologia yakeView attachment 2010204
Hahahahahahahah