Tafuta mpya,imeshatumwa sana.
Mzee pole sana na kifungo cha JF.
Imetupiwa hata juzi tu,tafuta mpya.
Ooh!!kumbeNiliwahi zamani kabla I'd ile haijazingua![]()
Ila kule nilihama lkn..Ooh!!kumbe
Ebu kafanye kwa ajili yangu ili roho yangu ithuzike kwa kweli!!


Wengi wa hivyo yaliyomo huwa hayamo ila ukimfanya/geuza yeye unakuta yaliyomo yamoHazinaniliu ila zinashawishi kutaka kujua yaliyomo yamo??
Kwema mkuu !sijui upande wako

Sawa rukia16Ila kule nilihama lkn..
Ila siku nikiamka vizuri nitakutag nikitupia uwe tu mvumilivu![]()
Jambo la kushukuru kama upo poa!!!Wengi wa hivyo yaliyomo huwa hayamo ila ukimfanya/geuza yeye unakuta yaliyomo yamo
Vizuri sana kama ni kwema
Mimi niko poa/salama kabisa
AminaJambo la kushukuru kama upo poa!!!
Na ukute ni makande yanapikwa!
Walaa hutompa, tena wakati anavuta hivyo anakuangalia machoni, ukimkazia macho anakuchekea

Hivi bado zipogo?Hapa ndio ilikuwa mwisho wa kuangalia muvi za kihindiView attachment 2008495
Shukurani nimerudi tena nahisi watanipatia na kingine.Mzee pole sana na kifungo cha JF.