Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20211103-090806.jpg
 
Nkitokea pande hzo wataniona sna adabu, swez ongea na mtu bila kumuangalia usoni yana siwez hata baba yangu hapend uzngmze nae sura umeinamisha. Nmejikuta nmezoea hivyo
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Wahusika watakupa darsa labda, ngoja wataalam kutoka maeneo hayo wakujie na ushauri.
 
Back
Top Bottom