Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Mjitahidi kuzilinda mila zenu kama wenzanu wamasai aisee.
Maana tabia hii ya Wasukuma kuhama hama kinapunguza baadhi ya mila zao, kwakuwa baadhi ya maeneo wanaiga mila za wenyeji.
Juzi nilikuwa mkoa furani kwenye hii mikoa ambayo Wasukuma wameivamia kwa wingi.
Amefika hapo nyumbani kwa wenyeji bint mmoja wa Kisukuma alinisalimia juu kwa juu, yaani sikuamini.
Nilienda kwenye sherehe ya harusi wasukuma walisherehekea kuoana nikashangaa Baba wa muoaji kachagua mdundiko ngoma ya kizaramu nikashangaa kuwa jamaa nyimbo zao walikua hawana au
 
Yeah! Mimi kwetu ni last born. Nina dada ambao wananizidi sana umri lakini kila tukisalimiana lazima wapige magoti chini kabisa mpaka huwa nawaambia waache tu basi tunaishia kucheka. Vijijini mpaka leo binti asiyepiga magoti akisalimia watu wanaomzidi umri anachukuliwa kama hana heshima...na yes mkeo/mpenzi ni lazima apige magoti wakati wa salamu au kupokea cho chote. Hata akikupelekea maji ya kuoga bafuni utamsikia "Malchiah. Maji ya kuoga yapo tayari bafuni" huku amepiga magoti (ila hakuogeshi kama wanawake wa Tanga)

Watu wa usawa wa kijinsia wanapambana kuziharibu hizi mila...

Kuna wana kwaya walitokea Tanzania kututembelea kanisani, kisha wakawa wanatutembelea nyumba kwa nyumba, ikawa zamu ya kwangu, aise mke wangu aliona siku ndefu maana wale warembo kwa namna walikua wananisalimia, kila mmoja ananipigia magoti mbele ya mke... ha ha ha!!!
 
IMG_20211103_102301.jpg
 
Back
Top Bottom