Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1635865087392.jpg
 
Yeah! Mimi kwetu ni last born. Nina dada ambao wananizidi sana umri lakini kila tukisalimiana lazima wapige magoti chini kabisa mpaka huwa nawaambia waache tu basi tunaishia kucheka. Vijijini mpaka leo binti asiyepiga magoti akisalimia watu wanaomzidi umri anachukuliwa kama hana heshima...na yes mkeo/mpenzi ni lazima apige magoti wakati wa salamu au kupokea cho chote. Hata akikupelekea maji ya kuoga bafuni utamsikia "Malchiah. Maji ya kuoga yapo tayari bafuni" huku amepiga magoti (ila hakuogeshi kama wanawake wa Tanga)

Watu wa usawa wa kijinsia wanapambana kuziharibu hizi mila...
Teh teh teh teeeeeh!
 
Back
Top Bottom