Kweli kabisa shimba,nakumbuka nilikuwa na kimwana wa kisukuma,Ile ya long distance relationship,siku nikienda mtembelea ni full burudani,vizawadi vyangu vinapigiwa magoti,nikiwekewa maji bafuni/chakula mezani napigiwa goti,yaani hatarii.Wapo Usukumani...
View attachment 1995910
Yeah! Mimi kwetu ni last born. Nina dada ambao wananizidi sana umri lakini kila tukisalimiana lazima wapige magoti chini kabisa mpaka huwa nawaambia waache tu basi tunaishia kucheka. Vijijini mpaka leo binti asiyepiga magoti akisalimia watu wanaomzidi umri anachukuliwa kama hana heshima...na yes mkeo/mpenzi ni lazima apige magoti wakati wa salamu au kupokea cho chote. Hata akikupelekea maji ya kuoga bafuni utamsikia "Malchiah. Maji ya kuoga yapo tayari bafuni" huku amepiga magoti (ila hakuogeshi kama wanawake wa Tanga)Kweli kabisa shimba,nakumbuka nilikuwa na kimwana wa kisukuma,Ile ya long distance relationship,siku nikienda mtembelea ni full burudani,vizawadi vyangu vinapigiwa magoti,nikiwekewa maji bafuni/chakula mezani napigiwa goti,yaani hatarii.
Sema ndio vile ilikuwa fimbo ya mbali,wajanja wakawahi mzigo.

Kweli kabisa. Unawaza leo sijui nitakutana na gubu gani...and they wonder why we die early.
Nini hichi?
Nini hichi?