Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Sijakupinga kwa sababu sijui mtunzi alikuwa na maana gani nyuma ya hilo swali; binafsi kama ndiyo pepa ningejibu 12 pia. Niliona tu google wasomi wakijadili juu ya option nyigine ambayo jibu linakuwa 18
Ukitumia formula ya Ax(namba ya juu)
9×10=90
8×9=72
7×8=56
6×7=42
3×6=18.

Wengine wakasimply tu hivi
9×10-(9×0)=90
8×10-(8×1)=72
7×10-(7×2)=56
6×10-(6×3)=42
3×10-(3×4)=18

Na wengine wakadai 3=3. Kwa sababu kimahesabu kila namba ni sawasawa na namba yenyewe binafsi. 9 haiwezi kuwa sawasawa na 90
Hebu msituharibie jioni yetu jamani
 
Wivu wa mapenzi . Just accept kuwa kuchapiwa hakuepukiki and live in peace. Umemkuta mtu siyo bikra halafu eti unategemea atakuwa wa peke yako kama siyo ujinga ni nini? Mtaua sana watoto wa watu
View attachment 1994725

#KuchapiwaHakuepukiki
#KitandaHakizaiHaramu
#Kuchapiwanisiriyandani
Hata kama umemkuta bikra, bado hakuepukiki na ni jambo la kawaida tu.
 
IMG_6592.JPG
🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom