HahahahaNaona umejiunga juzi tu ila unaonekana kama mwenyeji mwenyeji hivi. Zamani ulikuwa unatumia ID gani?
View attachment 1991532










Hawa wote wanatafuta ng'ombe zizi zima la Wasukuma


Habari za usiku ankaliKwema kabisa ankali wangu.
Unatakiwa ukapimwe akili
Ukiona hivyo jua hiyo ni chapa ya Masasi, Ndanda, Nanganga, Newala nakazalikaAmeolewa lakini sio kiviile![]()




Asee, huo mlo maarufu sana mkoani Songwe.


Mungu atujaalie apatikane