[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata najua basi[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]Huko ukutani hilo ni tope?
Hahahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona umejiunga juzi tu ila unaonekana kama mwenyeji mwenyeji hivi. Zamani ulikuwa unatumia ID gani? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji870][emoji870][emoji870]
View attachment 1991532
Hawa wote wanatafuta ng'ombe zizi zima la Wasukuma [emoji23][emoji23]
Habari za usiku ankaliKwema kabisa ankali wangu.
Unatakiwa ukapimwe akili
Ukiona hivyo jua hiyo ni chapa ya Masasi, Ndanda, Nanganga, Newala nakazalika[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]Ameolewa lakini sio kiviile[emoji1787]
Hahaha[emoji23][emoji23][emoji23]
Asee, huo mlo maarufu sana mkoani Songwe.
Mungu atujaalie apatikane