moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,132
- 770,195
Badirisha mbinu
Badirisha mbinu
Mnabebeshwa mizigo mizito huko salon
Ulinzi ukifika hatua hiyo ni matesoTafuta pesa uwe unalindwa kama hivi,sio upo upo tu mpaka watu wakisikia jina lako waseme "huyo mtu bado yupo hajafa tu"View attachment 1991962
Wa liputuUkiona hivyo jua hiyo ni chapa ya Masasi, Ndanda, Nanganga, Newala nakazalika![]()
😂😂😂😂😂😂
Haaaaa Haaaaa 😂 Yan mimi huko ndo siendagi kabisaa, kule hata polisi walishindwa
Shwari,ankali usiku jana au?Habari za usiku ankali
Pole yaoMnabebeshwa mizigo mizito huko salon

Hii n kweli kabisa ndo mana kuna falsafa inasema "kazi ni utu" kwa hyo kama huna kaz, huna utu hustahili heshima

WeweHii n kweli kabisa ndo mana kuna falsafa inasema "kazi ni utu" kwa hyo kama huna kaz, huna utu hustahili heshima![]()

itoshe kusema wakaka na wadada ni watani wa jadi..
Akali haundagi huko?Pole yao![]()
Naanzaje ankali,mie mshamba mmoja hivi,yaani sijawahi,kwasasa naona kuna ka pepo kanataka nishawishiAkali haundagi huko?
,ata hivyo ataziona nani ndani ya hjb?