HahahahaAisee kwa hii age group kapatia sana. Karibu kila mmoja unayekutana naye analia kupotezewa muda na njemba iliyopiga mbususu kwa miaka 3+ halafu ikasepa na ikamvurugia mipango ya kuolewa kabla ya kuvuka 30. Wana uchungu na hasira hao usiombe. Ukideti nao be careful kwa sababu hawataki tena kupotezewa muda...
View attachment 1981082




Mwanamuziki kutoka Nigeria,.. kweli kafupi inaonekana maana hadi wewe umelalamikaHuyu Tiwa Savage ni nani? Nimeona anapelekewa moto si wa kitoto japo kweli ka Clip ni kafupi. Yaani ndo kaanza tu kuisikilizia na clip ndo inakata. Hovyooo!!!![]()


Umeibuka. Jana tulikuwa tunakusema kuwa una tabia ya kuibukia kwenye topiki zenye utata
Konekisheni haina masharti bana japo hujaniambia huyo Tiwa Savage ni nani![]()



