MmmmhMmmmmmh
Huyo mmama,hajielewiMijitu gani sasa? Mwenye kosa hapo ni huyo mama. Yaonekana pengine hata kufuli hana. Dogo si kwa kushangaa huko
This is abuse na picha kama hii kwenye nchi za wenzetu huko inaweza kukuletea matatizo makubwa hasa kwa aliyeipiga....
,Haha hataki Kuja huko eti hapapendiDecember uje naye huku, tukampandishe lifts zetu
Daah hivi wanyaki tumewakosea niniKungekuwa na flyover Wanyaki wangekuwa wanajazana hapo na hata kukanyagana hovyo na kurestishana ini pisi![]()


shida ya watoto wa kike ni hapo tuu. Akisha ambiwa kuwa yeye mzuri basi wote ndani ya nyumba anawaona maboya tuu
Espy atakufaa sana mahari napokea mwenyewe na kama huna basi nakugawia bure tuNasaka mke wa tatu bageshi. First born wetu anao wanne. Mimi nataka nikomee watatu. Kama kuna kabinti ka Kisukuma huko at least 35+ nifanyie connection nkoyi...Nakūlūmba no no no
Karibu Misungwi mjini ukipata nafasi bageshi. Ulizia kwa mzee Shimba yule mkulima maarufu wa dengu na nyanya.


Na ili kukata mzizi wa fitina nimeshaapa kuwa mke wangu wa tatu lazima awe Mnyaki.Daah hivi wanyaki tumewakosea nini![]()




