Unataka kututoa kafala auHiyo cha mtoto ukiweza kuangalia hii kwa dakika mbili na bila kupiga kelele wewe huumwiView attachment 1971673



🤣🤣🤣aache ngumi familia itaishije mkuu
🤣🤣🤣Hii ndio shida ya kupanda daladala za kwenda MKATA maana watu na mbuzi wote mnakua abiria na mbuzi huwa anapewa kipaumbele maana analipa nauli kubwa kuliko anayolipa mtu.
![]()
Ameona mengi sana huyu
Nchi ngumu hii🤣🤣
Mpaka utoe hapo mguu wa kuku inakuwa too late, bila shaka hii ni old fashion ya ulinzi
Me muoga kuniambia tu inatosha sitaki kuwa shuhudamaagano