Watatuulia Kijana wetu
Tuseme Burundi 🇧🇮 wanawake ni wachache sana, maana Tz avereji ni one man ,faivu wives 🤣......mh president atakutana na wale wanaharakati wa haki za binadamu
🤣🤣[emoji7][emoji7][emoji7]View attachment 1971354
Likitokea la kutokea ng'ombe yupo vizuri kuogelea
Duuuh aiseee, mkuu unaenda kutoa wapi kafara🤣🤣Hii ndio shida ya kupanda daladala za kwenda MKATA maana watu na mbuzi wote mnakua abiria na mbuzi huwa anapewa kipaumbele maana analipa nauli kubwa kuliko anayolipa mtu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji238][emoji238]View attachment 1971725
Inaharibu macho[emoji1][emoji1]Hiyo cha mtoto ukiweza kuangalia hii kwa dakika mbili na bila kupiga kelele wewe huumwiView attachment 1971673