Watatuulia Kijana wetu
Tuseme Burundi 🇧🇮 wanawake ni wachache sana, maana Tz avereji ni one man ,faivu wives 🤣......mh president atakutana na wale wanaharakati wa haki za binadamu
Likitokea la kutokea ng'ombe yupo vizuri kuogelea
Duuuh aiseee, mkuu unaenda kutoa wapi kafara🤣🤣Hii ndio shida ya kupanda daladala za kwenda MKATA maana watu na mbuzi wote mnakua abiria na mbuzi huwa anapewa kipaumbele maana analipa nauli kubwa kuliko anayolipa mtu.
View attachment 1971725
Inaharibu machoHiyo cha mtoto ukiweza kuangalia hii kwa dakika mbili na bila kupiga kelele wewe huumwiView attachment 1971673

