Mm nilikutana na mtu ananunua Tv ya Samsung million 12
Uko sahihi.Kuna chain ya nguo tena kali sana inaitwa Mavi...
View attachment 1967053
Na kuna kinywaji mashuhuri sana huko Mexico na nchi za Latin America kinaitwa Mavi.
View attachment 1967055
Lugha - sauti za nasibu zilizokubaliwa na jamii-lugha ili zitumike katika mawasiliano yao. Ni sauti za nasibu kwa sababu hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya neno na kitajwa au kirejelewa. Ndiyo maana neno moja (mf. mavi) linaweza kuwa na maana tofauti katika lugha mbalimbali.
ni mji huko Japan!Kweli kuwa uyaoneMm nilikutana na mtu ananunua Tv ya Samsung million 12

Ilikuwa ni 2014 wakati huo nilikuwa nimeingia duka la samsung ndiyo nakutana na hiko kisanga.Kweli kuwa uyaone![]()
Hilo kisanga kweli ndugu yanguIlikuwa ni 2014 wakati huo nilikuwa nimeingia duka la samsung ndiyo nakutana na hiko kisanga.
khaa!!Achaa kuna watu wanapesa tv zao ni thamani ya baadhi ya magari 😆😆😆😆Hilo kisanga kweli ndugu yangukhaa!!
HII mwendokasi kabisa zile bomba 😆😆😆😆
😆😆😆😆Kwendraaaaa !!!
View attachment 1968012
Hahahahaha. Me bado speed ni ya
UKIMWI siyo mafua kamanda. Hapo ni kutoka nduki tu yaani![]()







Mshibe huo, msisumbue tena watu kuwapikia kuwapikia mwingineKaribu msosi kamanda!
View attachment 1968003








