Huyo mrembo ujue katumia sana madawa mpaka amekuwa atifisho
Kibiashara!!! Wakati jamaa aliumizwaga nyonga sema now yupo frsh. Anyway watakiua hcho kishikajiHii imekaa kibiashara zaidi, japo mshikaji anaujua ukweli
Headmistress ndiyo wanakuwa wakorofi sana
Mwenye hilo gari huko ni mtu mkubwa sana
Nchi ngumu hii
Acha akale mkate 🤣🤣🤣
Hii ndiyo Tanzania 🇹🇿 niijuavyo mm
Hii wengine tunaipraktisi tangu zamani, utafiti umechelewa sana kuwafikia wengine
🤣🤣🤣🤣aaah tuko vizuri
Hawa walinzi nini?
Landlord anakupa alert
Commando Baba JennyBalaa alilofanya humu shozniga,utoto ulikuwa unanambia hivi ukichukua huyu na Rambo kule Afghanistan si wiki tu wanasafisha kila kitu!
Baadae nikajipa moyo wanapelekwa wanajeshi wa awali kwanza halafu baadae watapelekwa hawa wana.... utoto raha sanaView attachment 1963217