Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Nini hiki mjukuu? Unapenda kuendesha baisikeli ama?
Nini hiki mjukuu? Unapenda kuendesha baisikeli ama?
Siwezi kuendesha baiskeli babuNini hiki mjukuu? Unapenda kuendesha baisikeli ama?

!


HahahahaAggggrrrrrhView attachment 1963251

Au vile wanakulaga koni kwa mdomoKwani dhambiView attachment 1963262
Halafu hiyo midomo inaenda tumika kusoma mistari kwa BibleAu vile wanakulaga koni kwa mdomo




Halafu jamaa walikuwa hawafi hata ukiwapiga risasi na mabomu...Balaa alilofanya humu shozniga,utoto ulikuwa unanambia hivi ukichukua huyu na Rambo kule Afghanistan si wiki tu wanasafisha kila kitu!
Baadae nikajipa moyo wanapelekwa wanajeshi wa awali kwanza halafu baadae watapelekwa hawa wana.... utoto raha sanaView attachment 1963217
