Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Yaan
FB_IMG_16333876528659200.jpg
 
Balaa alilofanya humu shozniga,utoto ulikuwa unanambia hivi ukichukua huyu na Rambo kule Afghanistan si wiki tu wanasafisha kila kitu[emoji848]!

Baadae nikajipa moyo wanapelekwa wanajeshi wa awali kwanza halafu baadae watapelekwa hawa wana.... utoto raha sana[emoji2960][emoji23][emoji847]
FB_IMG_16331512518292311.jpg
 
Balaa alilofanya humu shozniga,utoto ulikuwa unanambia hivi ukichukua huyu na Rambo kule Afghanistan si wiki tu wanasafisha kila kitu[emoji848]!

Baadae nikajipa moyo wanapelekwa wanajeshi wa awali kwanza halafu baadae watapelekwa hawa wana.... utoto raha sana[emoji2960][emoji23][emoji847]View attachment 1963217
Halafu jamaa walikuwa hawafi hata ukiwapiga risasi na mabomu... [emoji23]
 
Back
Top Bottom