Wala mi sikupondi.Akhaaaaa! Ili iweje??
Nyie si mnatuponda na vicoba vyetu,tena mtulie![]()
Nyaya zimefyatuka
Chezea chanjo usichezee kazi ankaliNaacha kazi,
Kila kitu kina radha yake
Nenda buguruni sokoni vinamwagwa pale,pesa yako tu.Wala mi sikupondi.
nachohitaji ni hicho kipochi manyoya chako tu bas![]()
Nkajua utanitukanaNenda buguruni sokoni vinamwagwa pale,pesa yako tu.
Ankali kasema kuchanja uviko sio chanjo

Loooh,matusi mwiko.Nkajua utanitukana
Kweli?Una heshima sana maw.
you are a wife material

Kabisa yani nasema kutoka moyoni.Kweli?![]()
Kabisa yani nasema kutoka moyoni.

I wish to accompany you