Taavid
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 8,320
- 71,084
Huyu doc amechomoa figo mkuuAu labda daktar kilaza hajui hata hiyo figo kiuhalisia inafananaje


Huyu doc amechomoa figo mkuuAu labda daktar kilaza hajui hata hiyo figo kiuhalisia inafananaje


Si mchezoHuyu doc amechomoa figo mkuu![]()
Afrika bara moto.
Ulicheza huo mchezo ?
Saaaaaaaana.
@Saint Anne si wewe huyu au nani alisema hii kauli humu jukwaani?

Mimi nimezoeleka kwa initials zangu 3Napenda kweli mtu aniite kwa jina langu la ukoo.
Ukiziunganisha zinasomeka kama nenoMimi nimezoeleka kwa initials zangu 3
Ukiziunganisha zinasomeka kama neno
Oohh kama mimi tuYeah ni kama neno
Nikuchoree??Nimeipenda hii
Ni wajibu waoNa wababa huko wanapo tafuta hiyo hela?

Bonus my futi!Si tulishakubaliana kuwa hela ni bonus?![]()
ArachugaNaomba location ya hilo jengo

Kulala hapo hapo. tena kulala bila nguoWanakuwa wanalala hapo hapo au wanakuja. Na kuondoka!?