Na wababa huko wanapo tafuta hiyo hela?Kwanini?
Unajua wamama wa nyumbani wanamajukumu mengi sana![]()
Nimeipenda hiiMambo yangu hayoView attachment 1957934
Jinga kwa sabab katoa za ndani
Kumbe alimuahid kuwa ata mniniliii shemela#HABARI: Katika hali ya kustaajabisha, mfanyabiashara wa duka la simu mkoani Katavi Issa Kasili, amemfumania rafiki yake ambaye ni mfanyabiashara wa zao la mpunga katika Halmashauri ya Mpimbwe, Wilaya ya Mlele mkoani humo, Mayombi Mwela akiwa chumbani akichepuka na mke wake.
Katika video inayosambaa mitandaoni inamwonyesha Issa Kasili akimlaumu rafiki yake huyo kwa kuzini na mkewe....
"Umeni *****... mke wangu Mayombi? Umeni *****... mke wangu Mayombi? Mwishowe umetimiza ahadi yako?
Akimdhibiti mkewe, Kasili amesema amezaa naye mtoto mmoja hivyo kuanzia sasa hataki ndoa naye tena ambapo mara baada ya kumfumania alimpiga faini ya shilingi milioni 5 rafiki yake huyo.
Mi mwenyewe simu ilicholopoka kwenye daladala pale makumbusho na nilikuwa wa mwisho kushuka kumbe akaikota konda.Wengine sio wezi, mie simu yangu nishaisahau sehemu tofauti tofauti mara 4 na naipata kwa kuipiga.
Watu wema bado wapo aisee!Mi mwenyewe simu ilicholopoka kwenye daladala pale makumbusho na nilikuwa wa mwisho kushuka kumbe akaikota konda.
Nimefika huku juu jirani na CHAUMA ndio najikuta sina simu, nikakata tamaa kabisa.
Baada ya kufika kinondoni nikasema nijaribu tu kuipigia nikaona inaita kweli na ikapokelewa.
Baada ya mazungumzo jamaa akasema yeye ni konda ameikota kwenye siti ya daladala so kama vipi niende segerea akanipe.
Nikamuuliza si utarudi makumbusho? akasema atarudi ila mpaka zamu ya kupakia ifike.
Yule jamaa nilirudi kumsubiria Makumbusho na bahati nilibaki na kitiketi chenye namba ya gari, kwa hiyo gari ilipofika tu nikamfata na akanipa.
Inapobidi yes nawachapaUnachapaga viboko?![]()

Kumbe masikini tunazidiana kumbe kuna wezangu wanakula hadi kuku.
HahahahahahahaKhaaaaaaaaView attachment 1957938