moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,142
- 770,237
Jamaa anawakejeri waajili wake huyu

Jamaa anawakejeri waajili wake huyu

Mi nimepitwa kabisa, nashukuru mi sihusiki kuwa kuni
Jamaa anakuchimba kiaina, aache majungu.


Kwahivyo tuwaache, ndiyo tunayajenga nao na wanavumilia madhaifu yetu.
Vipi, ipazwe sauti na wa kule nyuma wasikie?