Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kachanje kazi iendelee
FB_IMG_1632005153350.jpg
 
Nope nimekuelewa; sema najiuliza hiyo aina ya ndoa ambayo mtu yupo tu free kuzaa nje. Yaani unaoa mke, ila pia inabidi uulize kama mimba ni ya kwako au sio yako.
Linapokuja swala la usalama hatua stahiki lazima zichukuliwe haiwezekan mtoto amefikia hatua ya kujitambua ndio unagundua sio wako
 
Back
Top Bottom