Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Ankali leo nimeumia sana.

Maana Kuanzia leo Yanga watakuwa watazamaji kwenye Klabu Bingwa Afrika.
Na nyie huko kwa Mkapa mmepigwa. Inasemekana eti mlikosea kwa mgeni wa heshima.
IMG-20210919-WA0142.jpg
 
Back
Top Bottom