Taavid
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 8,320
- 71,084
Ndo nimeleta ushuhuda hivi![]()

basi karbu tena, na iphone 13 ishatoka kama ukihitaji nambie
Ndo nimeleta ushuhuda hivi![]()

basi karbu tena, na iphone 13 ishatoka kama ukihitaji nambieIna maajabu gani,kuishinda hii???basi karbu tena, na iphone 13 ishatoka kama ukihitaji nambie
Hii 'umegugo' wapi?! Ila kwa kweli mimi sijui tofauti zake ila ntakununulia tu

Hii 'umegugo' wapi?! Ila kwa kweli mimi sijui tofauti zake ila ntakununulia tu![]()
umenidharau,yaani mie wakugoogle kweli
Mwambie mjukuu wako Warda atupe uzoefu wake
Uzoefu wa nini???Mwambie mjukuu wako Warda atupe uzoefu wake
Ankali vipi leo,mbona kimya

AtiiiAcha hizo basi na wewe. Wasukuma ni wapole na tunapenda utani tu na si vinginevyo bana
View attachment 1944708

Mbona wanasisimuana hawa Utopolo!!?Selfika na simba dayView attachment 1944719
Ndiyo...ikishindikana basi tako tu linatosha . Akili tukichanganya hizo ulizonazo na za kwangu tutakuwa OK. Ila tako lazima liwepo no matter what!Unanichanganya yaani niwe na tako na akili pia?

.Uzoefu wa nini???