Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 28,861
- 147,198
Ameen[emoji120][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
View attachment 1944728
Ameen[emoji120][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
View attachment 1944728
Kila nikija nabisho hodi lakin waapi,nifungylie[emoji23]Wapi hiyo selfie umetupia? Siku hizi hata nyumbani kwangu huji. Unaniudhi mpaka basi yaani.
Niiweke hapa mjukuu?Kila nikija nabisho hodi lakin waapi,nifungylie[emoji23]
Kuselfika[emoji2902][emoji2902][emoji2902][emoji2902]
Iweke tuone babuNiiweke hapa mjukuu?
Na baharia ye yote anayekutaka lazima apite kwangu...Tena yule mpenda kuzama chumvini sijui alipotelea wapi. Nina wasiwasi naye sana. Ng'ombe 45 zitamhusu!Iweke tuone babu
Hahahahahahaha[emoji38][emoji38][emoji38]Hata huyu baba kwa haya tunayokutana nayo huku mtaani si ajabu akaambiwa ana kiba100
Simba Day inaendeleaje kamanda?Hahahahahahaha[emoji38][emoji38][emoji38]
Kwakweli, mtaani kuna tisha[emoji23]
[emoji16]yule itakuwa yupo fongani,anachimba chumvi[emoji2902][emoji2902]Na baharia ye yote anayekutaka lazima apite kwangu...Tena yule mpenda kuzama chumvini sijui alipotelea wapi. Nina wasiwasi naye sana. Ng'ombe 45 zitamhusu!
Uko vizuri sana mjukuu na Allah Azidi kukubariki.
View attachment 1944783
Vipande vya muhogo na maji ya kandoro, lakini wakiingia Instagram wanakuwa na madoido kama yoteHuwa anakula vipande almasi?
Babu kula Ru...,zipo nikuchemzhie[emoji41]
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
View attachment 1944728