Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,912
- 136,619



Kila nikija nabisho hodi lakin waapi,nifungylieWapi hiyo selfie umetupia? Siku hizi hata nyumbani kwangu huji. Unaniudhi mpaka basi yaani.





Niiweke hapa mjukuu?Kila nikija nabisho hodi lakin waapi,nifungylie
Kuselfika![]()
Iweke tuone babuNiiweke hapa mjukuu?
Na baharia ye yote anayekutaka lazima apite kwangu...Tena yule mpenda kuzama chumvini sijui alipotelea wapi. Nina wasiwasi naye sana. Ng'ombe 45 zitamhusu!Iweke tuone babu
HahahahahahahaHata huyu baba kwa haya tunayokutana nayo huku mtaani si ajabu akaambiwa ana kiba100




Simba Day inaendeleaje kamanda?Hahahahahahaha
Kwakweli, mtaani kuna tisha![]()
Na baharia ye yote anayekutaka lazima apite kwangu...Tena yule mpenda kuzama chumvini sijui alipotelea wapi. Nina wasiwasi naye sana. Ng'ombe 45 zitamhusu!
Uko vizuri sana mjukuu na Allah Azidi kukubariki.
View attachment 1944783
yule itakuwa yupo fongani,anachimba chumvi

Vipande vya muhogo na maji ya kandoro, lakini wakiingia Instagram wanakuwa na madoido kama yoteHuwa anakula vipande almasi?
Babu kula Ru...,zipo nikuchemzhie
