King Rabbit
JF-Expert Member
- Mar 29, 2015
- 1,170
- 4,334
Ha ha ha nimemuona mzee wa ngunguri jamaa alikua bandidu kwa kaf lkn akifika kwa hausger anaufyata mpaka mimba ilipomchania mikeka
Znapatikana wap mkuu wenye pumu za ngoz tukanunueDawa hizi hapa tena ziko on sale. Chagua moja nikutumie. Hiyo Allegra mimi ndiyo hutumia. Running nose (mafua), watery eyes, sore throat, coughing inazima mara moja. Na unakunywa kakidonge kamoja tu for 24 hrs. Nitatupiamo na Allegra D kama Allegra ya kawaida itaelemewa.
Ukienda hospitali utapata pia dawa kwa sababu hizi pia zinauzwa kwenye maduka ya dawa.
View attachment 1940974
Na ni Kiswahili kwani uongo.Watasema chale ni kiswahili![]()
Hzo nywele sasa kama majaninya kiangaz,nyonyo imetobolewa bibi alambe hela hizzzz
Hiyo ilikuwa zamani, siku hizi wanaikamata na kuizamisha wenyewe huku wakikukodolea macho usoni kwako kuku'size unavyoisikilizia.
Yangu haijaorodheshwa.




The current one ana sura kama anakunya.
MmmhMrembo wa buza mnampa upwekeView attachment 1941301
Yanga imeenda maiti!!!!!Akiba ya maneno iliwasaidia wengiView attachment 1941311


Sisi Huku malawi hatupendagi ujingaPolisi wa Wilaya ya Ileje Mkoani Mbeya wametandikwa na Raia wa Malawi baada ya kuingia nchi hiyo ya kigeni kwa lengo la kuwasaka wafanya magendoView attachment 1941239

Wewe ni mtataYangu haijaorodheshwa.
-Mtunga majina, nicknames zote za kuudhi za walimu na wanafunzi nilizitunga. Hata akihamia mwalimu mpya au mwanafunzi mpya lazima wanaa wanifuate kuniuliza 'jina' litakuwa nani![]()
,