Hapo labda nije nikusaidie kupiga story na kula maparachichi, wakati unaendelea na kazi.
Afu hapo nje mbona pazuri hivyo Mtumishi; tufanyie tu besidei party yetu hapohapo![]()


Sawasawa mtumishi mwema. Birthday tutafanyia huku nyuma. Kuna ka jacuzzi ka Kisukuma hivi katatutosha. Mungu Atutunze mpaka hiyo Desemba 21 basi ikimpendeza. Asante sana....![]()


Kama ni mimi namlima taraka siku hiyo hiyo. Siwezi kuvumilia unafiki wa hivi kamwe!
View attachment 1929511




Waluhya nawakubali aisee, maana wanacheza sana mpira kama walivyo majirani zao wajaruoYaani sifa za Wasukuma na Waluhya wa huku kwetu zinaendana neno kwa neno.....