Hii inaonekana kama una clip nzima




Kwa technologia ilivyokua chamsingi wanaonana tu, maana akipata namba ya Simu tu inatosha
apo naona wanajaza kibubu wakikutana tu mimba
HahahahaMajibu ya wabongo ni shidaaView attachment 1928200

Ingewezekana wangefanya hata kukauza kalogo cha kudarizi ili kuwapa wepesi wateja wao kwa anaetaka anakanunua anapeleka kwa fundi nguo kubandikiwa!