Kumbe hata wewe mwenyewe ulikuwa hukijuikumbe. Sikujua kabisa,nimeiangalia sipati jibu
![]()




Episodes nyingine ni longo longo tu.
Wananchi tumepigwaeti Kofi aletwe na mwanamziki wa kariba ya Nandi ale ugali samaki kwenye hotpot za plastic,au ale makande kwa shishi food, aje kuwatumbuiza kina Mama j pale kwa mkapa kwa kiingilio cha buku tano,huyo sio Olomide tunayemjua


Nimeupata Mkuu!!Wengine mnaolalamika kuhusu connection muulizeni CAGvsSPEAKER.
Mzigo ameshaupokea.
Connection nmeikosa hii ,pepo inanihusu wakuu
Marahaba msukuma. Hiyo ndiyo faida ya kula maparachichi



Mtoto, ndugu na mume wake sijui wanajisikiaje walahi