Kumbe hata wewe mwenyewe ulikuwa hukijui [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji3]kumbe. Sikujua kabisa,nimeiangalia sipati jibu[emoji3]
[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]
Episodes nyingine ni longo longo tu.
Wananchi tumepigwa[emoji23][emoji23]eti Kofi aletwe na mwanamziki wa kariba ya Nandi ale ugali samaki kwenye hotpot za plastic,au ale makande kwa shishi food, aje kuwatumbuiza kina Mama j pale kwa mkapa kwa kiingilio cha buku tano,huyo sio Olomide tunayemjua
Nimeupata Mkuu!!Wengine mnaolalamika kuhusu connection muulizeni CAGvsSPEAKER.
Mzigo ameshaupokea.
Connection nmeikosa hii ,pepo inanihusu wakuu
[emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]Nimeupata Mkuu!!
Shukrani mno!!!
Duh[emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Marahaba msukuma. Hiyo ndiyo faida ya kula maparachichi[emoji188][emoji188][emoji188]Wanyaki wote shikamoooni...Tukutane Uyole [emoji91][emoji91][emoji8][emoji527][emoji527][emoji97]
View attachment 1919175
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji706][emoji706][emoji706]
View attachment 1919200
Mtoto, ndugu na mume wake sijui wanajisikiaje walahi