MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 33,481
- 53,343
Namba mbili sitokaa niisahau, nidhamu yangu yote ilitokana na hiyo namba mbili.
Kwani hujawahi kusafiri kufuata mbususu? Mimi nilikaribia kuanguka na ndege aisee. Yaani nikawa nafikiria sasa hii ndege ikianguka hapa, nitakwenda kusema nini mbinguni jamani? Yaani dhoruba mvua zinanyesha giza tupu radi zinapiga ndege inatikisika hatari halafu sasa rubani mwanamke maweee!Kwani mtaani kwao hamna?
Tena inatakiwa akifika azimiwe simu kabisa.
Huu ni ufala. Kula vitu vipo surrounding,na hiyo ndo mazingira....
Sent using Jamii Forums mobile app



Kama hakipo hapo ina maana ulidekeshwa sana hukuwahi kula kibano kutoka kwa mshua na bi Mkubwa eeh! Una bahati sana (kama tunaweza kuiita bahati)
Kwani hujawahi kusafiri kufuata mbususu? Mimi nilikaribia kuanguka na ndege aisee. Yaani nikawa nafikiria sasa hii ndege ikianguka hapa, nitakwenda kusema nini mbinguni jamani? Yaani dhoruba mvua zinanyesha giza tupu radi zinapiga ndege inatikisika hatari halafu sasa rubani mwanamke maweee!
Tulipotua nikalikuta jimama linanisubiri na maua dah sekeseke lote likasahaulika! Nililirarua siku ile kwa hasira mpaka likasema kulikoni? Nilipolisimulia mkasa mzima likanihurumia tu yaani...na kunipenda zaidi. Po pote ulipo Charlotte; I salute you![]()


pole sana aisee. Ila mimi sinaga tabia ya kuzifuata. Aje yeye,hataki,apite hivi. Labda wewe uliweza coz huyo ni mpenzi wako,mie nilikulaga za uso mwaka 2004,tangu hapo sinaga mpenzi. Mi naomba "uvunjwe miguu" upate steresi kama zote!


hii dua yako sio kabisa.




Namba mbili sitokaa niisahau, nidhamu yangu yote ilitokana na hiyo namba mbili.
Kama hakipo hapo ina maana ulidekeshwa sana hukuwahi kula kibano kutoka kwa mshua na bi Mkubwa eeh! Una bahati sana (kama tunaweza kuiita bahati)
Ina maana mpaka leo mumeo/hubby/mpenzi akikukanya tu unakuwa sawa? Kama ni hivyo basi wazazi walifanikiwa sanaKwangu kusemwa/kugombeshwa ni zaidi ya fimbo 200; so maneno tu yalinitosha kuniweka sawa,









Aseno wana matatizo gani?
View attachment 1913824