SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 49,973
- 75,054
Nilikuwa sijaligundua hilo. Basi hakuna option nyingine itabidi kijana wetu aendelee tu kushusha yale madude huku hukuMbon uzi unaonesha uko locked...![]()

Loooh,
Na ninavyowajua mtaweka mpaka wakili kutoka TAWLA, kwakuwa tu kaombwa ndogo![]()
Na wala hajabakwa, kaombwa tu.





dah!Jamaa na unene wake wala hakuwa na haja ya kujificha wala nini. Angekuwa mobile ana-take cover huku na huko sijui ingekuwaje. Alikuwa peupe kabisa kasimama tu na limwili lote hilo polisi wanammiminia risasi lakini hazimpati. Labda SWAT walikuwa hawajafika...
Bantu Hajia. Sura ya baba lakini mtako pwaaa....SYB approved!
Hata kama alitumia maguvu, angeenda akamshitaki polisi, sasa kisu cha moyo, kisu cha tumbodah!
Muuaji alipaniki. Kwani angekataa tu asingeeleweka? Hakukuwa na ulazima wa kumuua baharia labda kama alikuwa anataka kutumia maguvu!


Mia Khalifa. Walishaapa mahafidhina kuwa siku akitia mguu Lebanon tu wanaye. Si kwa kuwadhalilisha kule





