Hajaumba usiku,halafu tena ikifika usiku.....hawa vijana akili zao sijui zinawaza nini.
Labda kama unaizungumzia SWAT original, Bongonyoso kila kitu valuvalu.Jamaa na unene wake wala hakuwa na haja ya kujificha wala nini. Angekuwa mobile ana-take cover huku na huko sijui ingekuwaje. Alikuwa peupe kabisa kasimama tu na limwili lote hilo polisi wanammiminia risasi lakini hazimpati. Labda SWAT walikuwa hawajafika...
Mkuu SAGAI GALGANO wewe siyo mtu mzuri hahah!
CCM unadhani mna mtu timamu basi humo,wote wendawazimu ilitosha kauli ya mwenyekiti wao Maushungi hapo kwenye bold mengine wangeacha watu wafuatilie wenyewe sasa huyu nae kaibuka kabisa kutaja na majina na cheo cha muuwaji!
Hivi Tanzania wanafeli wapi kuwa na Muungano wao?!