Tz noumaaaaa....View attachment 1907056
Hela haijawahi muacha salama mtu mwenye njaa zakeKuna clip inatembea huko whatsapp ya muda kidogo manara alikuwa anahojiwa na times fm, anaulizwa kama akipewa mzigo wa kutosha atahamia yanga, anakataa anasema "over my dead body" hata apewe pesa zote benk kuu hawezi kwenda yanga, leo kiko wapi![]()

Ni kweli aisee, mara nyingi naonaga maneno yake huwa ya kufyatua tu.Kwa mwongeaji kama yule nadhani hata hakumbuki aliwahi kusema nini. Sawa tu na wanasiasa wetu
Vijana wa sasa wanagombea wamama kama wewe ili wapate kitonga, unaonaje ukijipatia mmoja ili nawe angalau ule ujanaNa uzee huu natafuta nini? Babu yupo





