Hii couple ina wakati mgumu sana![]()
Wadada wazuri wanapitia majaribu mengi ambayo wengi wao washindwa kuchomoa wanajikuta wanaishia kutumika sana, kwanza hawa huwezi kuwakuta single lazima umkwapue kwa mtu unategemea nini alikuwa anatumika hukoYaani hawa watu warembo wanapigwa mpaka mzigo unakosaga ladhaaaa
Wanisamehe tu hata mimi nawapiga kinoma noma![]()



Hahaaa daah wanapeleka muda na sijui kwa nini walipendana wote mabonge hahaaa


sasa kuna msichana atataka jamaa kibonge hivo.Ni mwaka gani hii babu,sijawahi lionaView attachment 1902430
Asante sana mkuu katika hili

. Nilishindwa kuelewa hii kituYaani kipindi hicho hata haujazaliwa dogo




Ntake radhi, japo ni kweli nilikuwa sijazaliwa lakini mie ni mhenga ujue.Yaani kipindi hicho hata haujazaliwa dogo![]()
Nampendaga
