Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,882
- 136,521
Leo ndiyo nitajua kama nina mjukuu anayenisikiliza ama la! Akikimbilia kwenye chumvi na kuacha pdf (elimu) nitashangaa sana. Na inawezekana nitamsusa kabisa na kumtenga mimi na ukoo wote. Ujukuu na ubabu waweza koma leo hii hii dadeki
Mjukuu njoo ukate mzizi wa fitina huku nijue moja.


ni siku nilipofanya usafi chumbani, endelea kumkosesha mjukuu wako rizki yake!! Aishie kula ma PDF kama panya na karatasi!














Kikao cha nini tena mama anguKikao saangapi?? Nataka nimwage mchele Leo![]()
HiiiiiiiiiView attachment 1898436
Hiini siku nilipofanya usafi chumbani, endelea kumkosesha mjukuu wako rizki yake!! Aishie kula ma PDF kama panya na karatasi!
![]()
Kumbe ni wakorogwe ?Mwalimu wangu wa michezo TTC KorogweView attachment 1898181
Mtanange,mliishianaje bana,na yule mzee wa uvimzaKikao cha nini tena mama angu
Yule jamaa atakuharibia maisha, ameshashindwaMtanange,mliishianaje bana,na yule mzee wa uvimza
