Clarence Seedorf
Senior Member
- Sep 29, 2019
- 174
- 1,884
Namuonea huruma,maana ana swagga balaa,anatumia nguvu nyingi,na hivi nikimuambia apite hiviiii atakuwa mdogoHebu mtag kabisa mwambie hapahapa asikusumbue![]()


AlaaaNamuonea huruma,maana ana swagga balaa,anatumia nguvu nyingi,na hivi nikimuambia apite hiviiii atakuwa mdogo
Apambane aende malindi au uvinza
Mie sukari bhana![]()

, uje huku nikupe asali maana hata sukari nayo sio nzuriMmoja tuespy wewe una o wangapi ambao unawapanga?

Ewalaa!! Siku moja moja huwa unaelewa haraka sana.Yeye mwenye pesa atumikie mipango ya pesa na mimi nitumikie mipango ya faragha Mandingo style. Hapo sawa kabisa aisee![]()
ahaa kumbe mpango wa kando unaye mmoja tu. basi sawaMmoja tu![]()
Sina mpango wa kando bwanaahaa kumbe mpango wa kando unaye mmoja tu. basi sawa
Sina mpango wa kando bwana!ahaa kumbe mpango wa kando unaye mmoja tu. basi sawa


