moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,144
- 770,239
Huko ndo Kudemka kwenyewe
Kwamba amezaliwa Kenya

Wanyalu ni Wahehe wa Iringa.Hivi sanga ndio wanyalu?
HahahaNdo imetoka hiyo. Ukishaitwa kaka maana yake umeshapimwa katika mizani na umeonekana umepunguka. Kinachofuatia hapo ama ni brozone au friendzone. Pole![]()


Nipo ankaliiLoooh, swahiba hatutafutani![]()
Kama ulishawahi cheza gemu la nyoka ikafika hatua akajiuma mwenyewe ule mlio unaotoka hapo ndo jina kitaalum..😀Wizi wa kimtandaoView attachment 1896171