Hivi sanga ndio wanyalu?
Sijui mpendwaHivi sanga ndio wanyalu?
Ningekua mimi huyo dada ningemuuzia dola 1000 kapu moja!
Sipati picha waziri wa ulinzi atakuwaje![]()
Wengine hawapendagi kupanda hayo maboda
Kuna mwanamke asiependa mselelekoWengine hawapendagi kupanda hayo maboda

Ndo imetoka hiyo. Ukishaitwa kaka maana yake umeshapimwa katika mizani na umeonekana umepunguka. Kinachofuatia hapo ama ni brozone au friendzone. PoleUkaka umeanza lini tena![]()




Kweli mkuu kila mtu na priority zake. Mie suala la kupiga siwezi gombana na mke maanaUnaweza kubadili vyo vyote unavyotaka mkuu. Hayo yalikuwa maoni yangu tu. Kama unaweza kula kwa mama Ntilie kila siku poa tu ila mwanamke asiyejua kupika ni shida ndani ya nyumba![]()
Kha huo msambwanda hatari