Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 28,779
- 147,021
Hapo uliona chogo limekatiza hiviiii[emoji3061]Mizigo sheikh [emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 1892810
Hapo uliona chogo limekatiza hiviiii[emoji3061]Mizigo sheikh [emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 1892810
Kawaida sana[emoji3061]watu tunachimba visima[emoji3064]Waifu material [emoji91][emoji91][emoji91]
View attachment 1892814
Apia[emoji16][emoji23][emoji23][emoji119]
If u want to shoot, shoot don't talk!
Sio kweli, hakuna anaewaza hivyo kamwe.Kumbe[emoji16]View attachment 1892586
Vitu kama hivi ni Kanda ya ziwa tu.....kwa kina Bahame!!!Waifu material [emoji91][emoji91][emoji91]
View attachment 1892814
Mmmh si kweli,
Halafu unakuta hawa ni makocha!!Babu na babu[emoji116]View attachment 1892800
Ntakucheki.Mmmh si kweli,
Oya j,5 naamsha naenda shamba. Kuvuna,unataka gunia ngapi[emoji6]
Bei sawa na bure
OK.
Aibu?Aibu[emoji41]
Ooooh ndoa inapita nabaki nyumbani kama wiki hivi,then nitaenda kupambana huko[emoji3061]Aibu?
Hakuna cha aibu, familia nzima inajua lazima ukaonyeshe maujuzi huko uendako[emoji23][emoji23]
Sharti moja la ndoa ni honeymoon.Ooooh ndoa inapita nabaki nyumbani kama wiki hivi,then nitaenda kupambana huko[emoji3061]
Hilo ni sharti langu namba moja[emoji41]
Itabidi tu akubaliane na hili sharti kabla ya,,,,,,,,,,,,,,,[emoji3064]Sharti moja la ndoa ni honeymoon.
Honeymoon ni mapumziko ya kulana[emoji23]
Itakuwaje ulale kwenu wakati mwenzako alishasubiri sana ale mzigo kihalali?
[emoji51]Arsenal ni jahazi linalozama au linazamishwa?Timu ambayo imekuwa miaka yote inauza chipukizi tu,wana academy nzuri ila sasa kwa soka la leo ukitaka na makombe hao chipukizi wakikua usiwauze sana mwisho wake kila mwaka utategemea udhalishe wengine mpaka waje kuzoea inataka muda wenzao wanasajili top wao wanasajili chipukiziView attachment 1892608
Lazima iwe hivyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Na unaviringishwa mpaka uombe poo[emoji23][emoji23]Itabidi tu akubaliane na hili sharti kabla ya,,,,,,,,,,,,,,,[emoji3064]
Hii hali ya kila kiumbe kinajua leo unaenda kuvilingishwa[emoji23]sio poa