Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,918
- 136,643
Hapo uliona chogo limekatiza hiviiii

Hapo uliona chogo limekatiza hiviiii

Kawaida sana
watu tunachimba visima
If u want to shoot, shoot don't talk!
Sio kweli, hakuna anaewaza hivyo kamwe.
Mmmh si kweli,

Halafu unakuta hawa ni makocha!!Babu na babuView attachment 1892800
Ntakucheki.Mmmh si kweli,
Oya j,5 naamsha naenda shamba. Kuvuna,unataka gunia ngapi
Bei sawa na bure
OK.
Aibu?Aibu![]()


Ooooh ndoa inapita nabaki nyumbani kama wiki hivi,then nitaenda kupambana hukoAibu?
Hakuna cha aibu, familia nzima inajua lazima ukaonyeshe maujuzi huko uendako![]()


Sharti moja la ndoa ni honeymoon.Ooooh ndoa inapita nabaki nyumbani kama wiki hivi,then nitaenda kupambana huko
Hilo ni sharti langu namba moja![]()

Itabidi tu akubaliane na hili sharti kabla ya,,,,,,,,,,,,,,,Sharti moja la ndoa ni honeymoon.
Honeymoon ni mapumziko ya kulana
Itakuwaje ulale kwenu wakati mwenzako alishasubiri sana ale mzigo kihalali?

sio poaArsenal ni jahazi linalozama au linazamishwa?Timu ambayo imekuwa miaka yote inauza chipukizi tu,wana academy nzuri ila sasa kwa soka la leo ukitaka na makombe hao chipukizi wakikua usiwauze sana mwisho wake kila mwaka utategemea udhalishe wengine mpaka waje kuzoea inataka muda wenzao wanasajili top wao wanasajili chipukiziView attachment 1892608

Lazima iwe hivyoItabidi tu akubaliane na hili sharti kabla ya,,,,,,,,,,,,,,,
Hii hali ya kila kiumbe kinajua leo unaenda kuvilingishwasio poa




Na unaviringishwa mpaka uombe poo
