Dah,linanihusu hili kwa kweli......Ukiongezea na ugali ndo kwisha kabisa!
View attachment 1892755
Mpalestina eeeh!?


Jamani. Mbona tunajulikana kwa upole na kujali? Mengine mnatuonea tu

Nini tena? Watu wanatafuta utajiri ama?
Mkuu nimecheka sana. Na kweli ni kutubu tu hakuna namna


Mengineyo ndio muhimu zaidi akiwekezaMpalestina eeeh!?
Hii ni mvua ya rasharasha tu mbona? Anza kuwekeza kwenye faya ekstinguisha, bima ya maisha na mengineyo![]()
Yuko vizuri....tatizo tu kajisahau ikaungua. Kuna ambaye huo mviringo tu kuunda ungekutana na kituko.











Kama ule"Nipe uvumilivu"......Gospel songs hits harder when unateseka hapa nje. Kwanza za Rose Muhando unaezadhani vita yako na shetani imeanza![]()


Both to score!!!Unataka kumkula umwache kumbe na yeye anataka kukuambukiza ukimwi akuache![]()