Haka katoto kanaudhi, hivi kameolewa ?
Nitapambana nikuhamishe nikutoe kwenye ulokole uje kwenye Uadventista Usabato. Hutajuta Mtumishi![]()
Nakuja nimejiandaa kukusabatoisha tu. Asante mtumishi mwema uliyebarikiwa sanaNa ukiniona nimetulia tu lazima unitafute neno; njoo huku tuhubiriane


Pole mjukuu. Hayo maumivu unayopata ndiyo hayo huwa tunapata tukituma nauli halafu hamjiJamani nimeibiwa na voda,,,voda popote mlipo MUNGU anawaona,,,hela yangu bora ningetoa sadaka kuliko kuweka vocha na kuniibia
Yaani mie leo wakulia kisa vocha,,,,inaniuma sana,ingekuwa yakupewa nisingeumia asee kwa jasho langu
![]()





Pole sanaJamani nimeibiwa na voda,,,voda popote mlipo MUNGU anawaona,,,hela yangu bora ningetoa sadaka kuliko kuweka vocha na kuniibia
Yaani mie leo wakulia kisa vocha,,,,inaniuma sana,ingekuwa yakupewa nisingeumia asee kwa jasho langu
![]()


Mi Mwenyewe nimeshangaa sanaAmejitia kovu la kudumu bure tu![]()

Pole mjukuu. Hayo maumivu unayopata ndiyo hayo huwa tunapata tukituma nauli halafu hamji![]()




Ahsante,,,,asee inauma balaa asikuambie mtu babu,Pole mjukuu. Hayo maumivu unayopata ndiyo hayo huwa tunapata tukituma nauli halafu hamji![]()