Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

[emoji16]
IMG_20210814_104121_263.jpeg
 
Jamani nimeibiwa na voda,,,voda popote mlipo MUNGU anawaona,,,hela yangu bora ningetoa sadaka kuliko kuweka vocha na kuniibia[emoji120][emoji120][emoji120]

Yaani mie leo wakulia kisa vocha[emoji33],,,,inaniuma sana,ingekuwa yakupewa nisingeumia asee kwa jasho langu[emoji24]
 
Jamani nimeibiwa na voda,,,voda popote mlipo MUNGU anawaona,,,hela yangu bora ningetoa sadaka kuliko kuweka vocha na kuniibia[emoji120][emoji120][emoji120]

Yaani mie leo wakulia kisa vocha[emoji33],,,,inaniuma sana,ingekuwa yakupewa nisingeumia asee kwa jasho langu[emoji24]
Pole mjukuu. Hayo maumivu unayopata ndiyo hayo huwa tunapata tukituma nauli halafu hamji [emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
 
Back
Top Bottom