Qwy
JF-Expert Member
- Nov 23, 2018
- 6,236
- 31,197
My wife gotta read this.Wanaume mpo? Habari ndo hiyo. Angalau mabao 21 tu kwa mwezi. Saratani ya Tezi dume chali
View attachment 1888415
Yaani nikifa leo wataona aibu maana daftari la madeni lipo chini ya meza ya sebureni. Mliomo humu mnilipe kutoa wanangu ambao wenyewe wakijua wanadaiwa wananitumia mess.Mpaka unaonekana wewe kituko. Huwa naapa sikopeshi tena lakini by nature wengine tunaamini hata uongo mweupe.
wadaiwa wangu kama mnasoma huu uzi mje mniletee pesa yangu.
Address au namba ya simu?




Ndiyo matunda yao pendwa.

uyo mchepuko akipigwa msumali na alivyokaa atajinyea kabisaMambo ya pimp ma ridePickup stout View attachment 1886100

Mbona unaongea maneno mazito hivi; kulikoni mpendwa?Yaani nikifa leo wataona aibu maana daftari la madeni lipo chini ya meza ya sebureni. Mliomo humu mnilipe kutoa wanangu ambao wenyewe wakijua wanadaiwa wananitumia mess.
Kumbuka humu wengi tunatumia pseudo names lakini tunawasiliana.
JF imenipa watoto wakuniimbia Pambio kama la mwendazake nikijiondokea. Imenipa wadogo watakao koka moto ili wachawi wasiniibe. I love. Jf
Kwa hiyo Wasukuma ni manyani eeeh!?Dah,embu waacheni wapumzike kidogo..hahahahahView attachment 1888644
Maisha bila unafiki hayaendiMbele ya camera walikuwa wanachekeana kumbe walikuwa kwenye vita mura..
Dunia hii usiamini mtu...awe TAJIRI awe KAPUKU...View attachment 1888682
Dahh...ingekuwa mimi na game ndo ingeishia hapo,hilo timbwili lake sijui wangeshikia wapi...Kwa hiyo Wasukuma ni manyani eeeh!?
View attachment 1888684



