Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

giphy.gif
Yeah
 
Mpaka unaonekana wewe kituko. Huwa naapa sikopeshi tena lakini by nature wengine tunaamini hata uongo mweupe.

wadaiwa wangu kama mnasoma huu uzi mje mniletee pesa yangu.
Yaani nikifa leo wataona aibu maana daftari la madeni lipo chini ya meza ya sebureni. Mliomo humu mnilipe kutoa wanangu ambao wenyewe wakijua wanadaiwa wananitumia mess.
Kumbuka humu wengi tunatumia pseudo names lakini tunawasiliana.

JF imenipa watoto wakuniimbia Pambio kama la mwendazake nikijiondokea. Imenipa wadogo watakao koka moto ili wachawi wasiniibe. I love. Jf
 
Yaani nikifa leo wataona aibu maana daftari la madeni lipo chini ya meza ya sebureni. Mliomo humu mnilipe kutoa wanangu ambao wenyewe wakijua wanadaiwa wananitumia mess.
Kumbuka humu wengi tunatumia pseudo names lakini tunawasiliana.

JF imenipa watoto wakuniimbia Pambio kama la mwendazake nikijiondokea. Imenipa wadogo watakao koka moto ili wachawi wasiniibe. I love. Jf
Mbona unaongea maneno mazito hivi; kulikoni mpendwa?
 
Back
Top Bottom