Kumbe wewe mhenga kama mimi
Uliljiitaje mkuu?Asee nilibadili jina ooooh kilichonikuta
Halafu hii mijina ya urithi tabu tupuView attachment 1886680
Mwanamke akijua itakuwa balaa. Mimi ulizuka ugomvi kisa nimemsave jina na eneo analokaa, kwa mfano 'Jane Magomeni'
Nilijichanganya nikaingia barbershop moja ya kisasa pale Mikocheni uwiii. Baada ya kunyolewa na kabla sijajua kinachoendelea nikajikuta niko peke yangu kwenye kichumba hivi na mrembo wa Kiiraqwi eti nifanyiwe skrabu. Msukuma hata hiyo skrabu sijawahi kuisikia. Nilikuwa ndo nimeuza nyanya na dengu zangu huko Misungwi hivyo nilikuwa nimepiga pamba za uhakika sana. Eeh bana eeh. Kitambaa cha maji ya uvuguvugu kikapita kichwani na kwenye midevu. Mara matiti meupe laini mchongoko yaliyoshiba haya hapa laivu huku skrabu ikiendelea halafu kwa sauti nyororo nikaulizwa "unataka nini?". Hata sijui nilijibu nini lakini mpaka naondoka pale nilipigwa elfu kadhaa japo kunyoa nadhani ilikuwa elfu 15 hivi. Sasa hivi nanyolea kwenye barbershop za Uswazi huku ambako hakuna hii mishtukizo ya skrabu. Buku mbili tu kichwa safiiii


Siendagi huko mimiNilijichanganya nikaingia barbershop moja ya kisasa pale Mikocheni uwiii. Baada ya kunyolewa na kabla sijajua kinachoendelea nikajikuta niko peke yangu kwenye kichumba hivi na mrembo wa Kiiraqwi eti nifanyiwe skrabu. Msukuma hata hiyo skrabu sijawahi kuisikia. Nilikuwa ndo nimeuza nyanya na dengu zangu huko Misungwi hivyo nilikuwa nimepiga pamba za uhakika sana. Eeh bana eeh. Kitambaa cha maji ya uvuguvugu kikapita kichwani na kwenye midevu. Mara matiti meupe laini mchongoko yaliyoshiba haya hapa laivu huku skrabu ikiendelea halafu kwa sauti nyororo nikaulizwa "unataka nini?". Hata sijui nilijibu nini lakini mpaka naondoka pale nilipigwa elfu kadhaa japo kunyoa nadhani ilikuwa elfu 15 hivi. Sasa hivi nanyolea kwenye barbershop za Uswazi huku ambako hakuna hii mishtukizo ya skrabu. Buku mbili tu kichwa safiiii![]()



Ndio mkuuKumbe wewe mhenga kama mimi
Jana tu nimeangalia movie yake na clinteastwood
Sharp shootter hapo clint alimaliza mchezo wa angle eyes
Bila shaka pesa yako ya nyanya yote ukaiacha kwa mtoto wa mjini hapoNilijichanganya nikaingia barbershop moja ya kisasa pale Mikocheni uwiii. Baada ya kunyolewa na kabla sijajua kinachoendelea nikajikuta niko peke yangu kwenye kichumba hivi na mrembo wa Kiiraqwi eti nifanyiwe skrabu. Msukuma hata hiyo skrabu sijawahi kuisikia. Nilikuwa ndo nimeuza nyanya na dengu zangu huko Misungwi hivyo nilikuwa nimepiga pamba za uhakika sana. Eeh bana eeh. Kitambaa cha maji ya uvuguvugu kikapita kichwani na kwenye midevu. Mara matiti meupe laini mchongoko yaliyoshiba haya hapa laivu huku skrabu ikiendelea halafu kwa sauti nyororo nikaulizwa "unataka nini?". Hata sijui nilijibu nini lakini mpaka naondoka pale nilipigwa elfu kadhaa japo kunyoa nadhani ilikuwa elfu 15 hivi. Sasa hivi nanyolea kwenye barbershop za Uswazi huku ambako hakuna hii mishtukizo ya skrabu. Buku mbili tu kichwa safiiii![]()


