' Leo nimefikiri Sana na kufikia uamuzi kuwashauri wanawake wasilazimishe waume/wapenzi wao wawe na wao peke Yao. Ki uhalisia Mwanamume Yuko kwenye kundi la watu wenye mahitaji maalumu. Sie akimama wengi ni wafugaji sijawahi kuona MTU ana mitetea kumi kwenye Banda na jogoo kumi. Kama Tu kuku tunawapa haki Yao ya msingi binadamu je?',WAPI LIKE ZENU?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.