Kuna watu maisha yao ndio hayo ya kuazima mitokoUmeona eeh! Unakuja kuabishwa![]()


Asiifanye mchezo na mama, tena namrudishia vitasa mixer kelbu za kufa mtu!
Sasa huyu mheshimiwa kadude kidogo vile anapiga kelele, je akikutana na jihogo la jangombe liloshiba maji?






Huyu polisi mbona kama kwenye ile tamthilia ya The good son?


huyu baharia pepo ataisikia tuHiyo picha ya kwanza mjukuu wangu. Mbingu zikuepushe na dhahma hiyo!
Malast born mtuwache bana!