Vituko mitandaoni. Tupia chako

Huyo Mnyaki tayari keshabebwa na Msukuma. Hawa hawapindui kwetu. Ila kipengere, wanajua kupika 'ugali'?
Lete habari kamili mkuu. Najua ni Mrs. ila nilikuwa sijui kama kaolewa na Msukuma. Huwa anataniana sana na Wasukuma eti washamba na nitashangaa mno kama hubby wake ni Msukuma [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Nimesema siku nikizinyaka naona nitamlipia tu kwa sababu wakiendelea hivyo kuna hatari yangu kupoteza marafiki wote wawili [emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…